Mimba ya Wiki 33 смотреть последние обновления за сегодня на .
Your not-so-little one is probably up to 6 lbs! Find out what's going on during the final weeks of pregnancy. ――――――――――――――――――――――― WATCH MORE PREGNANCY VIDEOS! Click Here: »»» 🤍
Dalili za Mimba ya miezi 8 hufanana na dalili za Mimba ya miezi 7 bonyeza link hapa chini ili kujua Dalili za miezi saba. 🤍 Mimba ya miezi 8 inaweza kuwa na dalili kama. 1. Kuwa na kiungulia. Sababu za kiungulia kwa wajawazito na jinsi ya kupunguza athari au dalili zake. 🤍 Dalili za mimba ya mimba ya mwezi mmoja na kuendelea. 👇👇👇👇 🤍 2. Mama Mjamzito kuendelea kuwa na choo kigumu. Njia za kujikinga na choo kigumu katika kipindi cha ujauzito 🤍 3.Kukojoa Mara kwa Mara huongezeka. Dalili za mimba ya mimba ya mwezi mmoja na kuendelea. 👇👇👇👇 🤍 4.Mabadiliko ya Mood huendelea kuwepo. Dalili za mimba ya mimba ya mwezi mmoja na kuendelea. 👇👇👇👇 🤍 5. Hali ya Kushindwa kupumua hupungua. 6. Maumivu ya kiuno na sehemu ya chini ya tumbo ya kubana na kuachia. Dalili za miezi saba bonyeza hap chini. 🤍 7. Kuvimba kwa miguu Wakati mwingi Mama anaweza kuwa na Dalili za kutokwa na Maji ukeni kidogo kidogo au mengi kwa wakati mmoja huonesha kuwa chupa imepasuka inawezekana kwa sababu ya wadudu au lah, Dalili za uchungu bonyeza link hapa chini. 🤍 Lakini pia mama anaweza kuwa na dalili za kutokwa na damu pasipo maumivu au ikiwa na maumivu. NB;Ukiwa unaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share JapideAfya_Services Your Health is Our Health youtube.com/c/Dr.Mwanyika Instagram as 🤍JapideAfya_Services Facebook page as 🤍JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika. #AfyaBora #JapideAfya_Services #Mimba(8).
Kujifungua Mimba ya Miezi 7, Kujifungua Mimba ya Miezi 8, Kujifungua Mimba Wiki 28, Kujifungua Mimba Wiki 32, Dalili za Uchungu Miezi 7, Dalili za Uchungu Miezi 8, Dalili za Kujifungua Mapema, Mimba ya Miezi 7 Mtoto hupona, Mimba ya Miezi 8 Mtoto hufariki, Kujifungua Mtoto mapema, Kujifungua Miezi 7 Mtoto hupona na Kujifungua Miezi 8 Mtoto hufariki na Dr.Mwanyika. Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii 🤍 Jinsi ya kupnguza Mate Mengi Mdomoni kwa Mama Mjamzito 🤍 Je Mjamzito anaweza kula Mayai katika kipindi cha Ujauzito?? 🤍 Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? bonyeza link hii 🤍 Sababu za maumivu ya kubana kwenye miguu ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hapa 🤍 Je Kujinyoosha Kwa Mama Mjamzito Kuna Madhara Gani?? (Madhara Ya Kujinyoosha Sana Kwa Mjamzito) bonyeza link hapa 🤍 Sababu ya Maumivu ya kiuno au sehemu ya chini ya tumbo miezi mitatu ya mwishoni (Wiki 32,33,34 hadi 36 bonyeza link hii 🤍 Sababu za kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hii 🤍 Dalili mbaya kwa Mjamzito/Dalili za hatari kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha? 🤍 Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #DaliliMimbaWiki36 #MamaAfyaBoraApp #Drmwanyika
Ni muhimu mwanamke mwenye mimba akafahamu wiki anazotegemea kujifungua ili aweze kufanya maandalizi muhimu kwa ajili ya kujifungua
Mtoto kucheza sana tumboni Katika somo la Leo tutajifunza Mtoto kucheza sana tumboni kwa mama Mjamzito. Hali hii ya Mtoto kucheza sana tumboni huanza katika kipindi Cha wiki ya 16-22. Mtoto kucheza tumboni huongezeka kadri mimba inavyokua. Mtoto kucheza tumboni saana ni hatari huweza kusabisha mtoto kufariki mtoto kucheza tumboni miezi mingapi, mtoto kucheza tumboni, mtoto kucheza tumboni akiwa na miezi mingapi, mtoto kucheza tumboni upande wa kushoto, mtoto kucheza tumboni chini ya kitovu, mtoto kucheza tumboni upande wa kulia, mtoto kucheza tumboni kuanzia miezi mingapi, mtoto kucheza tumboni kwa muda gani, mtoto kucheza tumboni na miezi mingapi, mtoto kucheza sana tumboni #mtotokuchezatumboni #mtotokuchezasanatumboni #dalilizamimba ✴️FOR YOU ↔️USIGUSE HAPA👇 (Don't click here).🤍 ❤️ SUBSCRIBE channel yetu hapa 🤍 🖥️BEST PRODUCTS FOR YOU 🙋To get pregnant faster. Click here 👇 🤍 🎁 If you want to get pregnant faster, Click here 👇 🤍 ➡️ For business, sponsorship and COOPERATION: sabasephraim1🤍gmail.com ☎️CONTACT US ↘️ Join Telegram: 🤍 ↘️ Email: sabasranjan1🤍gmail.com ↘️Website: 🤍 ↘️Join our Facebook group: 🤍 ↘️Like our Facebook page: 🤍 Most trending videos♨️ ➡️Kupima Mimba changa kwa chumvi 🤍 ➡️Jinsi ya kupata mimba haraka 🤍 ➡️Jinsi ya KUPIMA MIMBA ya siku moja 🤍 ➡️kufahamu majina mazuri yanayoanzia na J. Gusa picha hapa 👇 🤍 ➡️Fahamu siku ya kubeba mimba 🤍 🚩Disclaimer There is link in the description which can direct you to my video or outside to other website. Some of links are affiliate link which direct you to the product. When you buy these products, I will receive small commission from your purchase.
Kujifungua Mapema, Kujifungua kabla ya wakazi, Mimba ya wiki 32, Mimba ya Wiki 33, Mimba ya Wiki 34, Mimba ya Miezi 8, Kujifungua Miezi 8 na wiki 2, Kichanga wa Miezi 8, Mtoto Mchanga wa Wiki 32, Kujifungua Mapema Mtoto Mchanga na Madhara yake, Kujifungua Mapema katika kipindi cha Ujauzito, Kujifungua kabla ya wakati kwa Mjamzito na Dr.Mwanyika. Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MimbaWiki32/34 #Mamaafya.com #Drmwanyika
Muda ambao mama mjamzito anaweza kujifungua bila shida ni kuanzia wiki 37 mpaka wiki 42. Ingawa anaweza kujifungua mpaka wiki 28 na mtoto akaishi vema endapo atapatiwa huduma stahiki,lakini pia anaweza kujifungua zaidi ya wiki 42 na mtoto akaishi vema! Tarehe ya kujifungua rasmi hutofautiana baina ya mama mjamzito mmoja na mwingine lakini pia Mimba moja na nyingine kwa mama mmoja, hata kama huwa tunajaribu kutafuta tarehe ya matarajio. Jifunze tarehe ya matarajio kwa kubonyeza link hii hapa chini 🤍 NB;Ukiwa unaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share JapideAfya_Services Your Health is Our Health youtube.com/c/Dr.Mwanyika Instagram as 🤍JapideAfya_Services Facebook page as 🤍JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika. #AfyaBora #JapideAfya_Services #Kujifungua
Leo tunaongelea kuhusu dalili za uchungu huonekana kuanzia wiki ya mwiki ya mwisho ya mimba. dalili hizi za my Mimba huanza kuonekana baada ya mtoto kushuka chini, kujiandaa kutoka. dalili hizi za mimba ni kama; - kutoka maji maji ukeni - kutoka Ute ute - maumivu ya mgongo - uchovu mkali #dalilizauchungu #dalilizamimba #dalilizamimbachanga #dalilizauchungu Infertility treatment book. Kitabu kinacho tibu ugumba 🤍 ...............................................................................................,...... Pata kitabu cha kutibu kutoshika mimba (ugumba) 🤍 .........,.................................................,................ USIGUSE HAPA👇 🤍 ................................................................................. Subscribe hapa👇 🤍 .............................................................................. Kama huwezi kushika mimba. Nunua kitabu kitakacho kusaidia kupata mimba hapa👇 🤍 ................................................... Loose faster your weight and fat. (Punguza uzito haraka) 🤍 .........................,................................................... Kwa biashara, sponsorship na ushirika. sabasephraim1🤍gmail.com ….................................................................................................... Like page yetu ya Facebook hapa👇 🤍 ,..................................................................................... VIDEO ZILIZOTAMBA ZAIDI ........................................... Dalili za uchungu 🤍 FAHAMU umuhimu wa kufanya mapenzi wakati wa UJAUZITO 🤍 Staili ya kupata mimba haraka 🤍 FAHAMU jinsi ya kupima mimba Kwa kutumia chumvi 🤍 Jinsi ya kupata MTOTO wa kike 🤍 Maini kwa mama mjamzito https://youtu.b/fPmCtG6TNME Madhara ya PUNYETO👇 🤍 Vyakula hatari kwa mama MWENYE MIMBA 🤍 Vyakula vya Mama mjamzito 🤍 Dalili za mimba ya siku moja https://youtu.b/TfsD5pYZWDA Faida za PILIPILI KIAFYA 🤍 Faida za Tangawizi kiafya 🤍 Dawa ya FANGASI hapa 🤍 Jinsi mimba INATUNGWA TUMBONI 🤍 FAHAMU jinsi ya kuhesabu mzunguko wa hedhi 🤍 Dalili za mimba ya wiki moja 🤍 DALILI ZA mimba changa hapa 🤍 FAHAMU chanzo cha mvua hapa 🤍 FAHAMU Sababu za mapachA hapa 🤍 DALILI ZA mimba changa hapa 🤍 FAHAMU chanzo cha mvua hapa 🤍 FAHAMU Sababu za mapachA hapa 🤍 Sababu 5 za madonda ya tumbo hapa 🤍 FAHAMU UGONJWA wa TEZI DUME hapa 🤍 Dawa ya asili ya kisukari hapa 🤍 Jinsi yai linarutubishwa na mwanamme hapa 🤍 FAHAMU siku hatari za mwanamke kushika mimba haraka. 🤍 ....................................................................................... Disclaimer: I have link in the description which can direct you to my video or outside to other website. Some of links are affiliate link which direct you to the product. When you buy these products, am going to get commission from your purchase.
umri was Mimba ambao Ni sahihi kwa Uchungu kutokea. 🤍drnathanstephen.3882
#babysaddamkenya video of 32 weeks foetus /baby video of 32 weeks foetus /baby video of 32 weeks foetus /baby video of 32 weeks foetus /baby video of 32 weeks foetus /baby Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja Dalili za mimba ya mwezi mmoja dalili za mimba dalili za mimba changa zaidi dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya siku moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba ya wiki moja dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mimba changa dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mwanzo za ujauzito dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba dalili za mimba
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa Mjamzito,Maumivu Kiuno kwa mjamzito,Maumivu Nyonga ktk kipindi cha ujauzito,maumivu nyonga na kiuno,Maumivu Ukeni wa mjamzito,Maumivu ya kiuno ktk ujauzito,maumivu ya ukeni,Mjamzito ukeni,Kiuno cha mama mwenye mimba,Mama mimba,Mimba ya mjamzito,Tumbo la kwa mama mwenye mimba,Uke wa mwanamke,Mjamzito Kiuno na maumivu ya Nyonga, Maumivu ya chini ya kitovu na Dr.Mwanyika. Sababu za kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hii 🤍 Dalili mbaya kwa Mjamzito/Dalili za hatari kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha? 🤍 Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MaumivuKwaMjamzito #DrMwanyika #Mamaafya
Mimba ya Wiki 36, Ujauzito Wiki 36, Dalili za Ujauzito Wiki 36, Dalili za Ujauzito wa Miezi 9 Dalili za Mimba ya Wiki 36, Mimba ya Miezi 9, Dalili za Mimba ya Miezi Mitatu ya mwishoni mwa Ujauzito, Miezi 9 ya Ujauzito, Dalili za kujifungua, Dalili za Ujauzito Miezi 9, Ujauzito wiki 36, Dalili za Mimba au Ujauzito wa Miezi 9 au Wiki 36 na Dr.Mwanyika. Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii 🤍 Jinsi ya kupnguza Mate Mengi Mdomoni kwa Mama Mjamzito 🤍 Je Mjamzito anaweza kula Mayai katika kipindi cha Ujauzito?? 🤍 Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? bonyeza link hii 🤍 Sababu za maumivu ya kubana kwenye miguu ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hapa 🤍 Je Kujinyoosha Kwa Mama Mjamzito Kuna Madhara Gani?? (Madhara Ya Kujinyoosha Sana Kwa Mjamzito) bonyeza link hapa 🤍 Sababu ya Maumivu ya kiuno au sehemu ya chini ya tumbo miezi mitatu ya mwishoni (Wiki 32,33,34 hadi 36 bonyeza link hii 🤍 Sababu za kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hii 🤍 Dalili mbaya kwa Mjamzito/Dalili za hatari kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha? 🤍 Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #DaliliMimbaWiki36 #MamaAfyaBoraApp #Drmwanyika
Wajawazito Saba Kati Ya Kumi Hujifungua Watoto Wa Kiume Waonapo Dalili Hizi
ULTRASOUND NA TAREHE YA MATARAJIO. Ultrasound hutumika kuangalia Mambo mengi sana kwa Mjamzito. Mojawapo ya Mambo ya Msingi ambayo Ultrasound hutumika kuangalia ni Tarehe ya Matarajio au Matazamio. Ultrasound inapofanyika Miezi Mitatu ya Mwanzoni mwa Ujauzito, Mimba ya kuanzia na chini ya wiki 13 na siku 6 huwa na majibu sahihi zaidi ya Tarehe ya Matarajio kuliko kipindi chochote cha Ujauzito. Ultrasound ikifanyika kuanzia Miezi 4 ya Ujauzito huwa na majibu tofauti na Uhalisia hii ni kwa sababu umri wa Mimba unavyoongezeka majibu ya Ultrasound huwa na tofauti kubwa ukilinganisha na Tarehe ya Matarajio kutokana na siku ya kwanza ya Hedhi ya mwisho. MAMBO YANAYOWEZA KUATHIRI TAREHE YA MATARAJIO KUTOKA NA ULTRASOUND. Pamoja na kwamba Ultrasound huwa na majibu sahihi katika kipindi cha Mwanzoni mwa Ujauzito, Majibu yake huweza kuwa na tofauti kubwa kutokana na sababu zifuatazo: 1. Umri wa Mimba/Ujauzito. Kadiri umri wa Mimba unavyoongezeka ndivyo utofauti wa Tarehe ya Matarajio ya Ultrasound na Tarehe ya Matarajio kutokana na hedhi yako ya mwisho huongezeka. 2. Ujuzi wa Mtu anayefanya Ultrasound. Tarehe ya Matarajio ya Ultrasound huwa na Uhalisia au kweli zaidi endapo mtu anayefanya Ultrasound ana Ujuzi wa kutosha kuhusu Ultrasound na Upimaji endapo hana Ujuzi wa kutosha majibu huwa ya tofauti kubwa zaidi. 4. Ubora wa Mashine. Mashine Bora hutoa majibu ya tarehe ya matarajio sahihi zaidi ukilinganisha na Tarehe ya Matarajio kutokana na hedhi ya mwisho tofauti na hapo huwa na majibu ambayo si sahihi. 4. Mkao wa Mtoto. Endapo Mtoto amekaa vibaya huwa ni ngumu kupata Tarehe ya Matarajio kutokana na Ultrasound ambayo ni sahihi zaidi. Matazamio, Matazamio, Matazamio yakujifungua, Matarajio ya Ultrasound yakujifungua, Matazamio yakujifungua Matarajio, Matarajio ya kujifungua Matarajio ya kujifungua kwa Mjamzito Matazamio yakujifungua kwa Mjamzito ULINGANISHAJI WA TAREHE YA MATARAJIO KUTOKA NA ULTRASOUND DHIDI YA TAREHE YA MATARAJIO KUTOKANA NA HEDHI YA MWISHO. Hapa nitakuwa naonesha utofauti wa Tarehe ya Matarajio ya Ultrasound na Tarehe ya Matarajio kutokana na hedhi ya mwisho kulingana na umri wa Ujauzito. 1. MIMBA YA CHINI YA WIKI 13 NA SIKU 6(MIEZI 3 WIKI 1 NA SIKU 6). Endapo ukilinganisha tarehe ya matarajio kutokana na ultrasound na ile ya hedhi yako ya mwisho, Kwa kawaida ultrasound huzidisha au kupunguza siku 7. (±7) Kuna makundi makuu mawili kutokana na Umri wa Mimba/Ujauzito. a. Mimba ya Umri chini ya Wiki 8 na siku 6. Tarehe ya Matarajio ya Ultrasound ukilinganisha na Tarehe ya Matarajio kutokana na hedhi ya mwisho. Kwa kawaida Ultrasound huweza kuzidisha au kupunguza siku 5 (±5) b. Mimba ya wiki 9(Miezi 2 na wiki1) Hadi wiki 13 na siku 6(Miezi 3, Wiki 1 na Siku 6) Endapo ukilinganisha tarehe ya matarajio kutokana na ultrasound na ile ya hedhi yako ya mwisho, Kwa kawaida ultrasound huzidisha au kupunguza siku 7. (±7) 3. Mimba ya Wiki 14 (Miezi 3 na wiki 2) hadi Wiki 15 na siku 6 (Miezi 3, Wiki 2 na Siku 6). Endapo ukilinganisha tarehe ya matarajio kutokana na ultrasound na ile ya hedhi yako ya mwisho, Kwa kawaida ultrasound huzidisha au kupunguza siku 7(±7). 4. Mimba ya Wiki 16 (Miezi 4) hadi hadi Wiki 21 na siku 6 (Miezi 5 wiki 1 na siku 6) Endapo ukilinganisha tarehe ya matarajio kutokana na ultrasound na ile ya hedhi yako ya mwisho, Kwa kawaida ultrasound huzidisha au kupunguza siku 10 (±10). 5. Mimba ya wiki 22 (Miezi 5 na wiki 2) hadi wiki 27 na siku 6 (Miezi 6 Wiki 3 na siku 6) Endapo ukilinganisha tarehe ya matarajio kutokana na ultrasound na ile ya hedhi yako ya mwisho, Kwa kawaida ultrasound huzidisha au kupunguza siku 14 au Wiki 2. (±14) 6. Mimba ya wiki 28 (Miezi 7) kwenda juu. Endapo ukilinganisha tarehe ya matarajio kutokana na ultrasound na ile ya hedhi yako ya mwisho, Kwa kawaida ultrasound huzidisha au kupunguza siku 21 au wiki 3. (±21). Hivyo Tarehe ya Matarajio ya Ultrasound hutofautiana zaidi na Tarehe ya Matarajio kutokana na hedhi ya mwisho endapo umri wa Mimba ni mkubwa zaidi. Endapo ulifanya Ultrasound zaidi ya Mara moja au Mbili ni vema kutumia Tarehe ya Matarajio ya Ultrasound ambayo ilifanyika kwa Mara ya kwanza Mimba ilipokuwa katika Umri mdogo zaidi. Matazamio, Matazamio, Matazamio yakujifungua, Matarajio ya Ultrasound yakujifungua, Matazamio yakujifungua Matarajio, Matarajio ya kujifungua Matarajio ya kujifungua kwa Mjamzito Matazamio yakujifungua kwa Mjamzito Nifuatilie kwenye channel yangu kuhusu Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie Instagram kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #EDDyaUltrasound #DrMwanyika #MamaAfya
Endapo umefikisha Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito yaani Wiki 28 Hadi Wiki 36, kipindi ambacho bado Mtoto hajakomaa vizuri na Uchungu Halisia kuanza Baadhi ya Wajawazito hupata Dalili mbalimbali za Mwanzoni za Kujifungua au Uchungu, Wengi wao hudhani kuwa ni Uchungu wa kweli kumbe ni viashiria vya Uchungu ambao utakuja kutokea mbeleni Baada ya Muda fulani. Dalili za Mwanzoni za Kujifungua huweza kujitokeza Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito na hutofautiana kati ya Mama mmoja na mwingine vile vile na Endapo ni Mimba ya kwanza au Mimba zinazofuatia. Mwanamke ambaye Ujauzito wake wa Kwanza Mara nyingi wao huanza kuhisi Dalili za Kujifungua mapema zaidi inawezekana Wiki 2 hadi 4 kabla ya Dalili za Uchungu Halisia kutokea hii huwa tofauti na Mwanamke ambaye anabeba Mimba ya Pili, Ya Tatu na Nk ambapo Hawa huweza kupata Dalili hizi siku kadhaa kabla ya Uchungu halisia au Dalili za Uchungu Halisia kutokea na Kujifungua rasmi Watoto wao. Kwa Kawaida Uchungu Halisia au Uchungu wa Kweli hutokea Kati ya Wiki 37 hadi 42 kipindi ambacho Mtoto anakuwa amekomaa vizuri na anaweza Kuishi Duniani. Zifuatazo ni Dalili za Mwanzoni za Kujifungua au Dalili za Mwanzoni za Uchungu. 1. Maumivu ya Mgongo na Kiuno Wakati fulani. Wajawazito wengi hupata Maumivu haya kutokana na Ongezeko la Homoni ya Relaxin ambayo hulegeza Nyonga kwa ajili ya kuhakikisha kuwa Mtoto anaweza kupita kwenye Nyonga, wakati Mwingine hii Homoni huweza kuathiri Jointi na Ligamenti za Mwili mzima na Mjamzito hupata Maumivu Jointi nyingine za Mwili wake. 2. Mtoto Kushuka (Lightening). Kuanzia Wiki ya 32 Mara nyingi Mtoto hushuka kwenda kwenye Nyonga tayari kwa ajili ya Kuzaliwa na Kutoka Duniani. 3. Kukojoa Mara kwa Mara. Baada ya Mtoto Kushuka Mjamzito huanza kupata Dalili za Kukojoa Mara kwa Mara, Ni kwa sababu Kibofu Cha Mkojo hugandamizwa na sehemu ya Mtoto ambayo iko Chini kwenye Nyonga ya Mjamzito na kubanwa kwa Kibofu Kati ya sehemu hiyo ya Mtoto na Mfupa wa Kinena. 4. Kuchoka Mara kwa Mara na Kukosa Usingizi. Maumivu katika kipindi cha Mwishoni mwa Ujauzito na Kukojoa Mara kwa Mara hii hupelekea Mjamzito kukosa Usingizi wa kutosha hivyo Muda mwingi huwa na Uchovu wa Mara kwa Mara. 5. Uzito kutoongezeka. Kwa kawaida Mjamzito huongezeka Uzito wa Wastani wa 1kg katika kila Mwezi mmoja katika Kipindi cha Ujauzito lakini inapofika Mwishoni mwa Ujauzito Uzito huwa hauongezeki na wakati mwingine inawezekana kabisa Uzito hupungua ndio maana ni vema inapofikisha Wiki 42 ujifungue na hutakiwi kuzidisha Wiki 43 za Ujauzito. 6. Kuharisha. Baadhi ya Wajawazito hupata Dalili ya Kuharisha hii ni Kutokana na Ongezeko la Homoni za Prostaglandins ambazo hupelekea Mfuko wa Uzazi kujikunja na kuweza kutoa Mtoto Wakati wa Kujifungua lakini pia huweza kupelekea Ongezeko kubwa la mjongeo wa Utumbo Mdogo hivyo huweza kupelekea Dalili za Kuharisha kwa Mjamzito. Hutofautiana kati ya Mjamzito moja na mwingine. 7. Maumivu ya Kubana na Kuachia. Maumivu ya kubana na kuachia hutokea katika kipindi chote Cha Ujauzito, Lakini endapo Maumivu hayo hayana Mpangilio maalumu basi huwa ni Dalili za Mwanzoni za Kujifungua tofauti na Uchungu Kamili ambapo Maumivu huongezeka kadiri Muda unavyoenda na huwa na Mpangilio maalumu. 8. Mtoto kupunguza kucheza. Kwa kawaida Wajawazito huanza kuhisi Mtoto kucheza kuanzia Wiki ya 20 kwenda juu na Mtoto huongezeka kucheza kadiri umri wa Mimba unavyoongezeka na kufikia Wiki ya 32 Mtoto hucheza zaidi baada ya hapo Mtoto hupunguza Kucheza kwa sababu anakuwa ameshuka kwenye Nyonga tayari kwa ajili ya Kutoka na Kuzaliwa. MUHIMU: Endapo Mtoto amepunguza kucheza unatakiwa kwenda hospitali kwa ajili ya kujihakikishia kuwa hana shida nyingine. Nifuatilie kwenye channel yangu kuhusu Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie Instagram kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #DaliliZaKujifungua #DrMwanyika #MamaAfya
FAHAMU DALILI ZA MIMBA YA MTOTO WA KIUMBE -Mama mjamzito uonapo dalili hizi jua una mimba ya mtoto wa kiume
Mtoto anaweza kuanza kugeuka kuanzia wiki ya 32 mpaka wiki 36 Endapo hajageuka kuanzia wiki 35 kurudi chini hiyo inawezekana isiwe shida kwa sababu anaweza kugeuka mpaka wiki ya 36 ila endapo hajageuka mpaka wiki ya 36 hiyo ndio tunaita *Breech presentation.* *Kuna aina 3 za Breech presentation* 1. Kutanguliza miguu na matako kwa pamoja huitwa *Complete Breech* 2. Kutanguliza Matako na kukunjua miguu sehemu ya goti huitwa *Frank Breech.* 3. Kutanguliza mguu mmoja au miwili huitwa *Footling Breech* *Je naweza kujifungua kwa njia ya kawaida Kama mtoto Yuko Breech?* Hutegemeana mama moja na mwingine na mtoa huduma njia atakayo chagua lakini kwa siku hizi Madaktari wengi hupendelea kufanya operation (Cesarian section) ili kuepuka shida mbalimbali. *Lakini Kuna njia ambayo Daktari anaweza fanya maneuver kwenye tumbo la Mjamzito njia hiyo huitwa _External Cephalic version_ ambayo hufanyika Kati ya wiki 36 na 38 za Ujauzito.* 🤍 #DrMwanyika #Mtotokugeuka #MamaAfya
Video hii imeelezea faida mbalimbali ambazo mjamzito anaweza kuziona kama ana mimba ya miezi nane. Mimba ya miezi nane inakuwaje? Dalili za mimba ya miezi nane Tarajia mambo haya kama una mimba ya miezi nane #afyayako #mwiliwako #sayansi 🤍hascavela
Inakadiliwa kuwa binadamu hubeba ujauzito kwa wastani wa muda wa wiki 40 kamili. Makadilio haya si kila mwanamke huyafikia, hii ndio maana baadhi hujifungua chini ya wiki hizi 40, na wengine hujifungua baada ya wiki 40 kupita Wiki ngapi ni salama kujifungua? Kujifungua huwa salama endapo itatokea wakati kichanga amekomaa Tafiti zinaonyesha kuwa ujauzito hukamilika unapofikisha wiki 37 mpaka 42 Kujifungua kwenye kipindi hiki huwa na maudhi kidogo kwa kichanga Wakati kujifungua kabla au baada ya wiki 37 hadi 42 huambatana na maudhi makubwa kwa kichanga na mama Tarehe ya matazamio ya kujifungua Tarehe ya matazamio ya kujifungua Hukokotolewa kwa kuzingatia nadharia ya kwamba kipindi kamili cha ujauzito ni wiki 40 Asilimia 4 tu ya wanawake hujifungua katika tarehe zao za matazamio Asilimia 86 ya wanawake waliobaki hujifungua kabla ya tarehe ya matarajio ya kujifunguaa Na asilimia 10 ya wajawazito waliobaki hujifungua baada ya wiki 42 kupita Wakati gani utasemekana umewahi kujifungua? Endapo utajifungua ujauzito ukiwa na wiki chini ya 37, itasemekana umejifungua kabla ya wakati Kujifungua kabla ya wakati kumegawanyika katika makundi pia Madhara ya kujifungua kabla ya wakati Baadhi ya madhara yanayowezaa ambatana na kujifungua kabla ya wakati ni Kujifungua mtoto njiti au uzito mdogo kupita kiasi Kujifungua baada ya wakati Ni kujifungua baada ya wiki 42 za ujauzito yaani siku 294 kupita Madhara ya kujifungua baada ya wakati Kujifungua kwa kuanzishiwa uchungu Kujifungua kwa upasuaji Mtoto kufia tumboni au kufa baada ya kujifungua Mtoto kuzaliwa na uzito mkubwa Kichanga kuvuta kinyesi Mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua Kujifungua kwa shida Majeraha kwenye mlango wa uzazi na Kuchanika msamba Kupata maambukizi ukeni au kwenye kizazi baada ya kujifungua Kuishiwa damu Kama ujauzito wako umepitiliza umri, au unapata dalili za uchungu kabla ya wakati Wasiliana na daktari wako kwa msaada Zaidi Subscribe channel yetu ya ULY CLINIC-youtube kwa video na Makala mpya za afya Asante kwa kutazama
Kujigungua kwa Upausuaji, siku ya kujifungua kwa kupasuliwa, kujifungua kwa operation, kujifungua wiki ya 38, kujifungua kwa Upasuaji kwa Mjamzito, kujifungua kwa Mjamzito,Dalili za kujifungua kwa Upasuaji, Dalili za uchungu kwa Mjamzito, Kujifungua ktk Ujauzito, Kujifungua kwa upasuaji wa dharula, kujifungua kwa upasuaji wa kupangiwa na Dr.Mwanyika. Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii 🤍 Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? bonyeza link hii 🤍 Sababu za maumivu ya kubana kwenye miguu ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hapa 🤍 Je Kujinyoosha Kwa Mama Mjamzito Kuna Madhara Gani?? (Madhara Ya Kujinyoosha Sana Kwa Mjamzito) bonyeza link hapa 🤍 Sababu ya Maumivu ya kiuno au sehemu ya chini ya tumbo miezi mitatu ya mwishoni (Wiki 32,33,34 hadi 36 bonyeza link hii 🤍 Sababu za kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hii 🤍 Dalili mbaya kwa Mjamzito/Dalili za hatari kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha? 🤍 Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MamaAfyaBoraApp #DrMwanyika #UpasuajiKwaMjamzito
Its week 34! Your baby has grown to as much as pounds and may be up to 20 inches! Heidi Murkoff takes you the the 33 week of pregnancy, explaining everything that's going on during this amazing journey! Download the What to Expect app: 🤍 🤍 Watch all of our week-by-week videos: 🤍 FOLLOW US: Facebook: 🤍 Twitter: 🤍 Pinterest: 🤍 Instagram: 🤍 Learn more about your baby at week 34 on WhatToExpect.com: 🤍 TRANSCRIPT: Heidi Murkoff: Want to get a real sense of your baby’s size right now? Head to your supermarket’s baking aisle and pick up a 5-pound bag of flour. That’s about how much your little muffin weighs. Now, stack three bags of flour on top of each other. That’s how tall he is – well, if he could stand – about 20 inches in length. Have a boy bun in the oven? Then hooray for his testicles, which started out tucked up in his abdomen and are now migrating to their permanent home, his scrotum. In about three to four percent of boys, the testicles hang out upstairs a while longer, lingering until some lads turn a year old. So don’t worry if your son is born with undescended testicles. They’ll make an appearance in the near future. Both boy and girl babies are producing lots of sex hormones now, which will explain why the genitals may appear large and swollen at birth, and in the case of a little man, why the scrotal skin may appear darkly pigmented in the first few weeks after birth. In other news, with just a few weeks to the big day, vernix – the white waxy coating that protects baby’s skin from amniotic fluid and provides lubrication for delivery – is thickening right on prepping schedule. Also right on schedule is the maturation of your little one’s intestines, enabling them to fully digest mama’s delicious milk when the time comes!
Kimo au Urefu wa tumbo kitaalamu huitwa Fundal Height ambao ni Urefu kutoka kwenye mfupa wa kinena (Pubic Bone) mpaka kwenye sehemu ya juu ya tumbo au mfuko wa uzazi(Fundus). Kimo au Urefu huo hufanywa na wahudumu wa afya ili kuweza kuangalia Kama umri wa Mimba katika wiki unaendana na ukuaji wa Mtoto tumboni, kuangalia Kama Kuna Maji ya kutosha kwenye mfuko wa Mjamzito. Kwa kawaida Urefu huo huweza kuwiana na Umri wa Mimba/Ujauzito endapo Mimba ina umri wa wiki 24 au miezi 6 mpaka umri wa wiki 36 sawa sawa na miezi 9 na pia ikumbukwe kwamba endapo Urefu au kimo hicho kinatofautiana kwa sentimenta 2 pungufu au 2 zaidi ukilinganisha na Umri wa Ujauzito basi huwa haina shida endapo tofauti umekuwa zaidi ya 2 Basi unatakiwa kufanyiwa ultrasound kwa sababu hiyo huweza kuashiria shida fulani inaendelea au kitu fulani kisicho Cha kawaida katika ukuwaji wa Mimba hiyo. Mambo yanaweza kuathiri Kimo au Urefu huo na kutokuwa unawiana na umri wa Mimba katika wiki 24 Hadi 36 Ni Kama yafuatayo: 1. Akina Mama Wajawazito wenye Viriba tumbo/Obesity. 2. Akina Mama wenye Mimba ambayo watoto wao wanakuaji wa taratibu kuliko kawaida/IUGR. 3. Mimba ya Mtoto mkubwa kuliko Kawaida kuanzia kilo 4 na nk/Macrosomia. 4. Uwepo wa Maji mengi kwenye mfuko wa Uzazi /Polyhydramnios. 5. Kuwepo kwa Maji Machache kwenye mfuko wa Uzazi/Oligohydramnios. 6. Mimba ya Mapacha #MamaAfya #UrefuTumbo #Drmwanyika
Ukitaka kubadili umri wa Mimba kutoka mfumo wa wiki kwenda katika mfumo wa miezi fanya yafuatayo;- kwanza kabisa tunafahamu; Mwezi mmoja = Wiki Nne. Wiki Moja = Siku Saba. Umri wa Mimba katika wiki gawanya kwa wiki 4 ambazo ni sawa na mwezi Mmoja. Mfano. 1. Wiki 17 ni sawa na Miezi mingapi? Wiki 17/ Wiki 4 = Miezi 4 na wiki 1. 2. Wiki 27 ni sawa na Miezi mingapi? Wiki 27 / wiki 4 = Miezi 6 na wiki 3. 3. Wiki 38 ni sawa na Miezi mingapi? Wiki 38 / wiki 4 = Miezi 9 na wiki 2. NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇 youtube.com/c/DrMwanyika Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share *JapideAfya_Services* Your Health is Our Health Instagram as 🤍JapideAfya_Services Facebook page as 🤍JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika. #MamaAfya #UmriWaMimbaMiezi #DrMwanyika
hii ni 🤍SayansiTips katika kipindi hiki tutajifunza dalili za uchungu kwa mjamzito. baadhi ya dalili za uchungu ni kama zifuatazo, 1: maji maji ukeni. 2: mfuko wa UZAZI kubana 3; kuhisi mtoto anagusa mlango wa UZAZI 4: dalili ya mwisho ya uchungu ni maumivu ya mgongo. na hizo ni dalili za uchungu kwa mjamzito mezi tisa. #dalilizauchungu #mimbachanga #uchunguwamimba #mimba ✴️FOR YOU Join telegram:👇 🤍 🚩 Tazama video zote hapa 👇 🤍 USIGUSE HAPA (Don't click here). 👉🤍 ❤️Subscribe channel yetu hapa. 🤍 📔Download weight loss Ebook 🤍 🖥️BEST PRODUCTS FOR YOU 🙋Pregnancy miracle for infertility weman. 🤍 🎁Start The 28-Day Keto Challenge Right Now. 🤍 .........................,..................................................................,.......... 🎭For business, sponsorship and cooperation: sabasephraim1🤍gmail.com ☎️CONTACT US 🖥️ Join Telegram: 🤍 📲 Email: sabasranjan1🤍gmail.com 🖥️Website: 🤍 📲Join our Facebook group: 🤍 📲Like our Facebook page: 🤍 ...................................................................................................... ♨️Most trending videos♨️ ⏭️ TABIA 4 zinazopelekea ukose mtoto👇 🤍 📶Siri 4 za kupata mimba haraka 🤍 ✔️ MKUNDE PORI DAWA ya UZAZI 🤍 ⏭️ Dalili za mimba changa 🤍 🖥️Jinsi ya KUPIMA MIMBA bila KIPIMO 🤍 ⏭️ JE Maumivu chini ya kitovu ni DALILI ZA MIMBA CHANGA 🤍 📶Siku za hatari kwa wanawake wanaoingia period tarehe 1 🤍 📶Jinsi ya KUTOA na KUZUIA MIMBA KWA pilipili manga 🤍 ........................................... 📶 Jinsi ya kupata mapacha 🤍 📶Dalili za mimba ya wiki tatu. 🤍 ⏸️Kupima mimba kwa kutumia DAWA ya mswaki. 🤍 📶Dalili za mimba ya mwezi mmoja. 🤍 📶FAHAMU umuhimu wa kufanya mapenzi wakati wa UJAUZITO. 🤍 📶Staili ya kupata mimba haraka. 🤍 📶FAHAMU jinsi ya kupima mimba Kwa kutumia chumvi. 🤍 📶 Fahamu Jinsi ya kupata MTOTO wa kike. 🤍 ▶️Madhara ya kula Maini kwa mama mjamzito. https://youtu.b/fPmCtG6TNME 📶Vyakula hatari kwa mama MWENYE MIMBA. 🤍 📶Vyakula Bora kwa Mama mjamzito. 🤍 ⏸️Dalili za mimba ya siku moja. https://youtu.b/TfsD5pYZWDA 📌Faida za Tangawizi kiafya. 🤍 🚩siku gani ya kubeba mimba 🤍 📶Dalili za mimba ya wiki moja. 🤍 📶DALILI ZA mimba changa hapa. 🤍 👉FAHAMU Sababu za mapachA. 🤍 📶DALILI ZA mimba changa. 🤍 📶Jinsi yai linarutubishwa na mwanamme. 🤍 📶Fahamu kipimo Cha mimba kinasoma baada ya siku ngapi. 🤍 📶Mimba ya wiki moja. 🤍 📶FAHAMU siku hatari za mwanamke kushika mimba haraka. 🤍 ............................................................................................... 🖥️For search engines.🖥️ #dalilizamimba #mimba #mimbachanga #dalilizamimba #signsofpregnancy #kupimamimba #dawayamimba #mimbayamwezimmoja #jinsiyakutoamimba #mimbakuharibika ..................................................................................... 🚩Disclaimer There is link in the description which can direct you to my video or outside to other website. Some of links are affiliate link which direct you to the product. When you buy these products, I will receive small commission from your purchase.
Kupitia video hii utajifunza dalili sahihi za Uchungu kwa mama Mjamzito na itakusaidia kutofautisha na Maumivu Mengine.
Video hii imeelezea mimba ya miezi nane inakuaje, kama una mimba ya miezi nane tarajia mambo haya. Mimba ya miezi nane. Dalili ya mimba ya miezi nane. Maendeleo ya mimba ya miezi nane. Ukuaji wa mtoto tumboni Ujauzito wa miezi nane. #sayansi #afyayako #mwiliwako 🤍hascavela
Maji ukeni kwa Mjamzito, Kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito,Maji Ukeni kwa Mama mwenye Mimba, Kutoka Maji Ukeni Wakati wa Ujauzito,Maji kutoka Ukeni wakati Ujauzito,Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito,Kutokwa maji ukeni kwa Mjamzito na Dr.Mwanyika. Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha? 🤍 Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MajiUkeniMjamzito #DrMwanyika #Mamaafya
MAUMIVU YA MATITI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO. Baadhi ya Wanawake hupata Maumivu ya Matiti ktk kipindi cha Ujauzito. Dalili hii huaanza kutokea Mimba inapofikisha Wiki 2 za Ujauzito kipindi ambacho Baadhi ya akina Mama Wajawazito huwa hawajajigundua kuwa wao ni Wajawazito na pia huendelea kuwepo kwa Miezi Mitatu ya Mwanzoni mwa Ujauzito huweza kupungua Miezi Mitatu ya katikati mwa Ujauzito na Kujitokeza Tena Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito. Tafiti zinaonesha Wajawazito 17 Kati ya Wajawazito 100 huwa na Dalili hii ya Maumivu ya Matiti ktk kipindi cha Ujauzito. Maumivu ya Matiti ktk kipindi cha Ujauzito hutofautiana kati ya Mjamzito Moja na Mwingine kuna baadhi huwa na Maumivu kidogo na wengine huwa na Maumivu Makali zaidi mpaka kushindwa kufanya kazi zao za kawaida bila Matibabu. Hali hii huweza kujitokeza kwenye Titi au Ziwa Moja au Matiti yote Mawili. DALILI ZA MAUMIVU YA MATITI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO. Mjamzito mwenye Hali hii huwa na Dalili zifuatazo; 1. Maumivu ya Matiti au Titi moja ambayo huwa kama Sindano zinachoma choma. 2. Maumivu Makali wakati wa Kujishika Matiti au Titi liloathirika. 3. Matiti kuongezeka Msisimko ambao si wa kawaida. 4. Maumivu kama Maumivu ya Kidonda kwenye Ziwa au Matiti yote Mawili. 5. Maumivu huweza kuuma kwenye Chuchu au Kuuma kuelekea kwenye Kwapa katika upande ambao Ziwa au Matiti yanauma. VISABABISHI VYA MATITI KUUMA KTK UJAUZITO. 1. Ongezeko la Homoni ya Estrogeni na Progesterone hususani kwenye Miezi Mitatu ya Mwanzoni mwa Ujauzito. Katika kipindi cha Mwanzoni mwa Ujauzito Kutokana na Ongezeko la Homoni ya Estrogeni hupelekea kuongezeka kwa Mishipa ya Damu na Vimirija vya Maziwa hali hii hupelekea Maumivu kwa Mjamzito. Kuna Baadhi ya Wanamke huweza kupata hali hii Siku chache kuelekea Hedhi yao ya kawaida ni Kutokana na Ongezeko la hizi Homoni za Progesterone na Estrogeni. 2. Ongezeko la Homoni ya Prolactin na Oxytocin ambazo hutolewa na Tezi ya Pituitari kwenye Miezi Mitatu ya katikati na Mwishoni mwa Ujauzito ambazo huuanda Mwili na Matiti kwa ajili ya utengenezwaji wa Maziwa ya Mtoto hupelekea Baadhi ya mabadiliko na Kuongeza kwa Mirija ya Maziwa kwenye Matiti na kupelekea Maumivu ya Matiti ktk kipindi cha Mwishoni mwa Ujauzito. 3. Uvaaji wa Brazia zisizobana na kushikiza Matiti vizuri. Matumizi ya Brazia ambazo si za Wajawazito kwenye kipindi cha Ujauzito huweza kupelekea Ongezeko kubwa la Maumivu ya Matiti kwa sababu hushikiza vibaya Matiti na kuachia sehemu nyingine za Matiti zikining'inia Vibaya na kupelekea Maumivu ya Matiti ktk kipindi cha Ujauzito. Hususani kwa Wajawazito wenye Matiti Makubwa Sana. MAMBO YAKUFANYA ILI KUPUNGUZA MAUMIVU YA MATITI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO. 1. Vaa Brazia Nzuri zilizotengenezwa na Pamba ambazo zina Mikanda Mipana ya mabega na zinazoshikiza Maziwa au Matiti vizuri bila kuachia Baadhi ya sehemu za Matiti kwa Nje na kufanya Matiti kuning'inia, hii huweza kusaidia kupunguza Maumivu ya Matiti ktk kipindi cha Ujauzito, NB; Hususani kwa Wajawazito wenye Matiti Makubwa Sana. 2. Acha Tabia ya Kujishika Maziwa/Matiti au Kukamua Maziwa/Matiti yako kipindi ambacho yanakuwa yanauma, Kitendo Cha Kujishika shika Matiti hupelekea inflamesheni na Maumivu kuongezeka katika kipindi chako Cha Ujauzito. NB: Hii unapaswa kumwambia na mwenza wako ili aelewe Kitendo Cha Kushika Matiti huongeza hali ya Maumivu katika Kipindi cha Ujauzito kwa Mjamzito mwenye Maumivu ya Matiti ktk Ujauzito wake. 3. Unaweza kukanda Matiti yako kwa Maji ya Barafu na Kitambaa laini au Barafu ili kupunguza Maumivu ya Matiti ktk kipindi chako Cha Ujauzito na Endapo Maumivu yanazidi unatakiwa kuwahi hospitali kwa ajili ya Kuonana na Daktari na kuandikiwa Dawa za Maumivu. 4. Unatakiwa kuonana na Daktari endapo unapata Maumivu ya Matiti na pia unaona au kuhisi Dalili zifuatazo; Matiti kutoa Uchafu wenye harufu Mbaya au Damu, Uvimbe kwenye Matiti yako, Kujikunja kwa Ngozi ya Titi kwa Kuingia au Chuchu kuingia Ndani kusiko kawaida, Kubadilika rangi ya Ziwa kuwa Nyekundu au Njano kama Chungwa. Nifuatilie kwenye channel yangu kuhusu Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie Instagram kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MatitiKuuma #DrMwanyika #MamaAfya
Face 3D - Gravidez de 33 semanas! Esse vídeo é uma pequena amostra de como é realizado um exame de ultrassom obstétrico, e ajuda os pais entenderem melhor como é feito esse tipo de exame, que é essencial durante a gravidez da mulher. O Método Omoris possibilita o desenho do contorno do feto em imagens de ultrassom, permitindo uma melhor visualização no útero da mamãe. Com mais de 40 anos de experiência, o Dr. Silvio Omori e médico especialista em ultrassonografia gestacional. A Clínica Omoris é uma clínica brasileira especializada em ultrassonografia, sob a direção do Dr. Silvio Omori e fica localizada em Londrina, no Paraná. Além do atendimento presencial em nossa clínica, oferecemos teleatendimento por telefone ou vídeo chamada no Brasil e exterior, auxiliando com segunda opinião vídeos de ultrassom gestacional. Dentre as nossas especialidades estão: * Ultrassonografia transvaginal * Ultrassonografia morfológica do primeiro trimestre * Ultrassonografia morfológica do segundo trimestre * Ultrassonografia obstétrica * Ultrassonografia obstétrica com doppler colorido * Ultrassonografia 3D e 4D Nossas redes sociais: Instagram: 🤍 Facebook: 🤍 TikTok: 🤍 Endereço da Clínica: Rua Senador Souza Naves 1044, sala 1, térreo Centro Londrina - PR CEP - 86010-160 Contato: 🤍 Dr. Silvio Takao Omori CRM-PR 8227 #ultrassom #drsilvioomori #charevelação #gestação #gravidez
mjamzito kufanya mapenzi ni muhimu kwani humpa faida nyingi kama zifuatazo. 1 kuzuia kichaa cha mimba 2 humsaidia kufika kileleni 3 kuondoa msongo wa mawazo 4 kupanua mlango WA uzazi 5 hupanua uke na hizo ndio faida za mjamzito kufanya mapenzi onyo tumia staili nzuri wakati wa kufanya mapenzi, Ili kutomgusa mtoto tumboni #mjamzitokufanyamapenzi #mjamzito #mimba #kufanyamapenzimamamjamzito Dawa ya Kokosa mimba (Tiba ya Ugumba)👇 🤍 .............................................................................. USIGUSE HAPA👇 🤍 ................................................................................. Subscribe hapa👇 🤍 .................................................................................. Like page yetu ya Facebook hapa👇 🤍 ,....................................................................................... Video zilizotamba zaidi ........................................... FAHAMU umuhimu wa kufanya mapenzi wakati wa UJAUZITO 🤍 Staili ya kupata mimba haraka 🤍 FAHAMU jinsi ya kupima mimba Kwa kutumia chumvi 🤍 Jinsi ya kupata MTOTO wa kike 🤍 Maini kwa mama mjamzito https://youtu.b/fPmCtG6TNME Madhara ya PUNYETO👇 🤍 Vyakula hatari kwa mama MWENYE MIMBA 🤍 Vyakula vya Mama mjamzito 🤍 Dalili za mimba ya siku moja https://youtu.b/TfsD5pYZWDA Faida za PILIPILI KIAFYA 🤍 Faida za Tangawizi kiafya 🤍 Dawa ya FANGASI hapa 🤍 Jinsi mimba INATUNGWA TUMBONI 🤍 FAHAMU jinsi ya kuhesabu mzunguko wa hedhi 🤍 Dalili za mimba ya wiki moja 🤍 DALILI ZA mimba changa hapa 🤍 FAHAMU chanzo cha mvua hapa 🤍 FAHAMU Sababu za mapachA hapa 🤍 DALILI ZA mimba changa hapa 🤍 FAHAMU chanzo cha mvua hapa 🤍 FAHAMU Sababu za mapachA hapa 🤍 Sababu 5 za madonda ya tumbo hapa 🤍 FAHAMU UGONJWA wa TEZI DUME hapa 🤍 Dawa ya asili ya kisukari hapa 🤍 Jinsi yai linarutubishwa na mwanamme hapa 🤍 Dalili za Tezi dume Kwa wanaume. 🤍 FAHAMU siku hatari za mwanamke kushika mimba haraka. 🤍
Kuna aina nyingi sana za Mapacha lakini kuna aina kuu 3 za Mapacha ambazo ni kama zifuatazo;- 1. Mapacha wasio wa kufanana / Fraternal Twins Hujumuisha 80% ya Mapacha wote katika Jamii,Hutokea Mara baada ya Mayai mawili ya kike kurutubishwa na Mbegu mbili za kiume tofauti tofauti katika Mzunguko mmoja wa Mfuko wa mayai ya mwanamke. 2. Mapacha wa kufanana/Identical Twins Hujumuisha 20% ya Mapacha wote katika Jamii,Hutokea Mara baada ya Yai Moja la kike kurutubishwa na Mbegu moja ya kiume na badae kugawanyika kwa wakati tofauti tofauti. Mapacha wa kufanana wamegawanyika katika makundi makuu 3. A. Diamniotic- Diachorionic Twins Hujumuisha 30% ya Mapacha wanaofanana ambao hufanyika siku 0 hadi siku ya 3 Mara baada ya Mimba kutungwa na hutokea Mara baada ya Kiini kugawanyika. B. Diamniotic - Monochorionic Twins Hujumuisha 70% - 75% ya Mapacha wanaofanana ambao hufanyika siku 4 hadi siku ya 8 Mara baada ya Mimba kutungwa na hutokea Mara baada ya Kiini cha ndani kugawanyika zaidi. A. Monoamniotic - Monochorionic Twins Hujumuisha 1% - 2% ya Mapacha wanaofanana ambao hufanyika siku 9 hadi siku ya 13 Mara baada ya Mimba kutungwa na hutokea Mara baada ya Kiini kugawanyika. 3. Mapacha walioungana viungo vyao/Conjoined Twins Hujumuisha chini ya 1% ya Mapacha wote katika Jamii,Hutokea Mara baada ya hitilafu ya mgawanyiko wa mapacha wa kufanana au kuchelewa kugawanyika kwa kiini kuanzia wiki 2 kwenda juu mara baada ya Mimba kutungwa.Kiujumla Mama Mjamzito mwenye Mapacha anatakiwa kujifungua wiki 37 hadi 39 hatakiwi kupitiisha wiki 40, inaweza kupelekea watoto kufia ndani ya Tumbo lake. Lakini ikumbukwe kwamba Siku au wiki za kujifungua hutofautiana kati ya Mapacha aina Moja na nyingine mfano; 1. Mama Mjamzito mwenye Mapacha aina ya Monoamniotic - Monochorionic anaweza kujifungua kuanzia wiki ya 32 hadi wiki ya 34. 2. Mama Mjamzito mwenye Mapacha aina ya Diamniotic - Monochorionic anaweza kujifungua kuanzia wiki ya 34 hadi wiki ya 37 au 37 na siku 6 hatakiwi kuzidisha wiki 38. 3. Mama Mjamzito mwenye Mapacha aina ya Diamniotic - Dichorionic anaweza kujifungua kuanzia wiki ya 37 hadi wiki ya 38 au 38 na siku 6 hatakiwi kuzidisha wiki 39. Hii ni kwa sababu Mapacha wanawahi kukomaaa mapafu yao na endapo wako karibu zaidi basi hupata stress zaidi na kupelekea wao mapafu yao kuwahi kukomaa kuanzia wiki ya 31 hii hutofautiana na Mama Mjamzito mwenye Mimba ya mtoto mmoja ambapo mapafu huanza kukomaa kuanzia wiki ya 34. NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇 youtube.com/c/DrMwanyika Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share *JapideAfya_Services* Your Health is Our Health Instagram as 🤍JapideAfya_Services Facebook page as 🤍JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika. #MamaAfya #KujifunguaMapacha #JapideAfya_Services
Maumivu ya Tumbo Chini ya Kitovu kwa Mjamzito huweza kuwa Hali ya kawaida kutokana na mabadiliko mbalimbali katika kipindi cha Ujauzito au Dalili Hatarishi, Mambo yafuatayo huweza kusababisha Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito katika vipindi fulani fulani vya Ujauzito; 1. Mimba kujishikiza kwenye Mji wa Uzazi. Mara baada ya Mimba kutungwa kwenye Mirija ya Uzazi,husafiri na kujishikiza kwenye Mji wa Uzazi huweza kupelekea maumivu ya kubana na kuachia kwa muda fulani na badae huacha yenyewe huhitaji Dawa. 2. Maumivu ya kubana na kuachia| Braxton Hicks Contractions Haya ni aina ya Maumivu ambayo hutokea katika kipindi chote Cha Ujauzito inawezekana Miezi Mitatu ya mwanzoni, katikati au Miezi Mitatu ya Mwishoni mwa Ujauzito, kutokana na Ongezeko la Homoni ya Oxytocin Katika kipindi cha Ujauzito hususani nyakati za Usiku na ahsabuhi mapema, muda ambao wanawake wengi wajawazito hupata maumivu haya. Maumivu haya huwa na Tabia ya kutokea na kupotea na hujirudia rudia isipokuwa huwa haya ongezeki kadiri muda unavyoenda badala yake huweza kuacha kuuma yenyewe bila matumizi ya Dawa. 3. Mimba kutishia kuharibika au Uchungu wa Mapema. Aina ya Maumivu tajwa hapo juu Braxton Hicks Contractions endapo yakiwa yanaongezeka kadiri muda unavyoenda huweza kusababisha Uchungu usio sahihi | Falsed labor au Hupelekea Mimba kutishia kutoka au kuharibika endapo yatakazana kuongeza na Mimba ikiwa chini ya Wiki 28 au Miezi 7, Lakini kumbuka kwamba endapo Maumivu hayo yataongezeka na Mimba iko Ina umri wa zaidi ya Wiki 28 na Chini ya Wiki 37 husababisha Uchungu kabla ya Wakati. 4. Uchungu Wa kawaida. Endapo unapata maumivu ya Tumbo ya kubana na kuachia, na umri wa Mimba yako ni Wiki 37 hadi 42,Basi hiyo huashiria ni Dalili ya Uchungu, kwa kawaida Maumivu ya Uchungu huanza kidogo kidogo lakini huongezeka kuuma kadiri muda unavyokwenda na spidi yake huongezeka kadiri muda unavyoenda na Mwisho hupelekea Mjamzito kujifungua Mtoto. 5. Maambukizi ya Bakteria au Vijidudu kwenye mfumo wa Mkojo| UTI. Endapo unapata Maumivu chini ya Kitovu ambayo yanatokea kipindi cha kukojoa au kutoa Haja ndogo, Homa au hamu ya kwenda haja ndogo inaongezeka Mara kwa Mara huonesha kuwa una Maambukizi ya bacteria kwenye mfumo wa Mkojo. Hivyo unahitaji vipimo na Matibabu. 6. Mawe kwenye Mfuko wa Mkojo. Wakati mwingine Maumivu ya Chin ya Kitovu na pembeni mwa Tumbo husababishwa na Mawe kwenye mfumo wa Mkojo, hii ni kwa sababu ya Homoni ya Progesterone ambapo hupunguza mjongeo wa Mkojo na kufanya ongezeko kubwa la Maji kwenye Figo | Hydronephrosis hii huwezi kupelekea Mjamzito kupata Mawe kwenye mfumo wa Mkojo. Nifuatilie kwenye channel yangu kuhusu Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie Instagram kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MaumivuTumboChini #DrMwanyika #MamaAfya
JINSIA YA MTOTO Hadi kufikia wiki ya 20 ya ujauzito,nyumba ya uzazi (uterus) ya mtoto mwenye jinsia ya kike huwa tayari imeshatengenezwa. Kama ni jinsia ya kiume,kende zake huwa tayari zimeshashuka kwenye vifuko vyake.Huu ndiyo muda sahihi kabisa wa kugundua jinsia ya mwanao kama unapenda,pia hili ndilo jibu la jumla kwa wote wanaoulizia muda sahihi wa kujua jinsia ya mtoto aliyeko tumboni
DALILI KUU TANO ZA UCHUNGU Ni muhimu sana kwa Mwanamke mjamzito kutambua dalili za uchungu ili aweze kujua wakati gani anakaribia kujifungua…Kutokujua dalili za uchungu huwasumbua sana wajawazito hasa ambao ndo mara yao ya kwanza kubeba ujauzito...Kutokana na hali hii hujikuta wanajifungua katika mazingira yasiyo saLama kama vile kwenye daladala,nyumbani nk. Hivyo ntaenda kuelezea dalili kuu tano ambazo mama mjamzito akiziona baasi atambue kuwa anakaribia kujifungua. Maumivu makali ya mgongo,kiuno Maumivu ya mgongo na kiuno ni kawaida kwa mama mjamzito isipokuwa anapokaribia uchungu maumivu huongezeka…Hii hutokana na misuli na maungio mbalimbali ya mwili kutanuka na kunyooka katika maandalizi ya mtoto kutoka kwa urahisi Kutokwa kwa uteute wenye utelezi sehemu za siri Wiki tatu hadi wiki moja kabla ya kujifungua mama mjamzito huanza kutoa uteute sehemu za siri ambao unaweza usiwe na rangi au wenye rangi ya pinki au wekundu kwa mbali..Mama mjamzito anapopata hali hii awasiliane na mtaalamu wa afya kwani ni kiashiria kikubwa cha kwamba anakaribia kujifungua, Kusikia kukojoa mara kwa mara Kabla ya kujifungua, mtoto hugeuka na kichwa huangalia mlango wa uzazi tayari kwa kutoka.Hali hii kitaalamu inaitwa(LIGHTENING PERIOD)Wakati huu ukuta wa uzazi hukandamizwa na kukandamiza kibofu cha mkojo cha mama hivyo mama mjamzito huwa na uwezo wa kuhifadhi kiasi kidogo sana cha mkojo na kusikia kukojoa mara kwa mara. Katika kipindi hiki pia mama mjamzito husikia hali ya sehemu za siri kuvuta na kuachia kutokana na mkandamizo anaousikia, Kutoa choo kilaini Wakati wa kujifungua unapokaribia ukuta wa uzazi hulegea vivyohivyo misuli mbalimbali ya mwili hulegea pia hii ni ilikumrahisishia mtoto kutoka kwa urahisi. Kati ya misuli ambayo hulegea ni misuli ya puru(rectum) na hii husababisha mama mjamzito kujisaidia kinyesi kilaini kwani hushindwa kuzuia kinyesi kutoka. Kujihisi hali ya uchovu sana. Mama mjamzito anapokaribia kupata uchungu viungo mbalimbali vya mwili na maungio mbalimbali hulainika hii ni kutokana na utengenezwaji wa relaxinin hormone ambayo hunyong’onyesha viungo mbalimbali vya mwili na mama mjamzito husikia uchovu na kusikia kulala mara kwa kwa mara kupita kawaida. Ni muhimu kuzitambua dalili hizi na dalili nyingine nyingi za uchungu ili kuweza kujifungua katika mazingira salama na kupata mtoto mwenye afya kabisa.Hivyo mama mjamzito aonapo dalili hizi ni muhimu kuanza kufanya mawasiliano na wataalamu wa afya kuhusu mabadiliko haya. Naamini utakua umeelimika,nakumbusha usisahau kushare na wengine kucomment nasi tutajibu comment zote lakini kama bado hujasubscribe basi subscribe kupata elimu nyingine nyingi kuhusu AFYA YAKO.
No Evolução da Vida de hoje veremos algumas imagens em 4D, feitas durante o exame dessa semana. Com 38 semanas de gravidez, o dia do parto está cada vez mais próximo! Como anda o desenvolvimento do bebê durante essa semana: Com 38 semanas, o 9º mês de gravidez está quase na metade. Os pulmões do bebê estão mais fortes e ele está se preparando para anunciar sua entrada no mundo. Eles estão produzindo cada vez mais surfactante, uma substância que impede que os sacos de ar nos pulmões grudem uns nos outros quando ele começa a respirar. Os olhos do seu bebê agora são azuis, cinzas ou marrons, mas uma vez expostos à luz, eles podem mudar de cor ou sombra. Quando o bebê completar 1 ano, você saberá sua verdadeira cor. O lanugo, o cabelo fino e felpudo que cobria o corpo do bebê para se aquecer, está caindo em preparação para o parto. O bebê também está engolindo líquido amniótico, alguns dos quais acabam em seus intestinos, onde – junto com outras células, bile e resíduos – se transformarão no primeiro movimento intestinal do bebê (mecônio) e talvez na sua primeira troca de fralda. Alguns sintomas que as gestante podem sentir durante essa semana incluem: micção mais freqüente, tampão mucoso, diarréia, coceira na barriga, edema (inchaço nos pés e tornozelos), insônia, instinto de nidificação, seios com vazamento, contrações de Braxton Hicks. * O Método Omoris possibilita o desenho do contorno do feto em imagens de ultrassom, permitindo uma melhor visualização no útero da mamãe. Com mais de 40 anos de experiência, o Dr. Silvio Omori e médico especialista em ultrassonografia gestacional. A Clínica Omoris é uma clínica brasileira especializada em ultrassonografia, sob a direção do Dr. Silvio Omori e fica localizada em Londrina, no Paraná. Além do atendimento presencial em nossa clínica, oferecemos teleatendimento por telefone ou vídeo chamada no Brasil e exterior, auxiliando com segunda opinião vídeos de ultrassom gestacional. Dentre as nossas especialidades estão: * Ultrassonografia transvaginal * Ultrassonografia morfológica do primeiro trimestre * Ultrassonografia morfológica do segundo trimestre * Ultrassonografia obstétrica * Ultrassonografia obstétrica com doppler colorido * Ultrassonografia 3D e 4D Nossas redes sociais: Instagram: 🤍 Facebook: 🤍 TikTok: 🤍 Endereço da Clínica: Rua Senador Souza Naves 1044, sala 1, térreo Centro Londrina - PR CEP - 86010-160 Contato: 🤍 Dr. Silvio Takao Omori CRM-PR 8227 #gestante #gestacao #gravidez #ultrassom #evolucaodavida
Kwa kawaida Urefu au Kimo Cha Tumbo huanza kupimwa Mimba inapofikisha wiki 20 kwenda katika kipindi cha Ujauzito. Lakini Uwiano Kati ya Umri wa Mimba au Ujauzito katika wiki huwiana ipasavyo na Urefu wa Tumbo au Kimo Cha Tumbo Mimba inapofikisha Wiki 20 hadi 32, ina maana zaidi ya Wiki 32 Mtoto anaweza kuwa ameshuka na Urefu ukawa hauwiani na umri wa Mimba. Urefu wa Tumbo au Kimo Cha Tumbo Mara baada ya kupimwa huweza kuwiana na umri wa Mimba endapo tuu Urefu huo hautakuwa pungufu au zaidi ya 3cm. Mfano; 1. Endapo una Mimba ya umri wa Wiki 20, Urefu wa Tumbo ukiwa kati ya 17cm,18cm,19cm,20cm,21,22 na 23cm huwa inaonesha kuwa kuna Uwiano Kati ya Umri wa Mimba yako na Urefu au Kimo cha Tumbo. 2. Endapo una Mimba ya Wiki 25 ina Ina Urefu wa Tumbo hutakiwa kuwa Kati ya 23cm hadi 28cm. 3. Endapo una Mimba ya Wiki 28 ina Ina Urefu wa Tumbo hutakiwa kuwa Kati ya 25cm hadi 31cm. KUMBUKA: Unapopimwa Urefu au Kimo Cha Tumbo katika kipindi cha Ujauzito huweza kusaidia kujua ukuaji wa Mtoto kulingana na Umri wa Mimba yako vile vile huweza kusaidia kujua Uwingi wa Maji yanayomzunguka Mtoto katika Mji wa Uzazi. #drmwanyika #mamaafya #KimoChaMimba
Dalili za uchungu kwa Mama Mjamzito,Dalili za uchungu,Dalili za Uchungu wa Kujifungua, Dalili za Uchungu wa kweli,Dalili za uchungu wiki 38, Dalili za Uchungu wiki 36, Uchungu wiki ya 40, Dalili za uchungu wa kujifungua,Dalili za uchungu wa Mwishoni, Uchungu wa Kujifungua, Dalili za uchungu wa mwanzoni. DALILI ZA UCHUNGU WA KUJIFUNGUA KWA MJAMZITO. 0:00 - Intro 0:43 - Maumivu ya Tumbo ya kubana 1:29 - Maumivu kujiridia rudia zaidi 2:25 - Maumivu kuuma zaidi 3:08 - Kutokwa na Ute mwingi Ukeni 4:32 - Kuhisi Mlango wa Uzazi kuachia 4:47 - Kuhisi Uzito kwenye Nyonga 5:28 - Mjamzito kujisikia kusuma 5:54 - Kupasuka kwa chupa NB: UONAPO DALILI HIZI WAHI HOSPITAL HATA KAMA MIMBA YAKO HAIJAFIKISHA KIPINDI CHA KUKOMAA YANI WIKI 37 HADI 42. Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito 🤍 Dalili za mimba kwa baba kijacho 🤍 Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini? 🤍 Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini? 🤍 Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi. 🤍 Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito. 🤍 Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito? 🤍 Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati 🤍 Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇 🤍 Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇 🤍 Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka; 🤍 Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa. 🤍 Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia? 🤍 Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa! 🤍 Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito. 🤍 Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito 🤍 Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni 🤍 Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii 🤍 Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #UchunguMjamzito #DrMwanyika #Mamaafya
MTOTO KUCHEZA CHINI YA KITOVU HUMAANISHA NINI? JE NI KAWAIDA? Ukweli ni kwamba Mjamzito anayebeba Mimba kwa Mara ya kwanza huanza kuhisi Mtoto kucheza Wiki ya 18 hadi Wiki 20 kwenda juu, Mjamzito ambaye anabeba Mimba kwa Mara ya Pili,Ya Tatu au zaidi huweza kusikia Mtoto anacheza kuanzia wiki ya 16 hadi 18 kwenda juu. SABABU ZINAZOPELEKEA MTOTO KUCHEZA CHINI YA KITOVU KTK TUMBO LA MJAMZITO. Kuna sababu kuu Mbili ambazo hupelekea Mjamzito kuhisi Mtoto anacheza sehemu ya chini ya Tumbo yaani chini ya Kitovu haijalishi upande wa Kulia au Kushoto sehemu ya chini ya Kitovu. 1. Umri wa Mimba/Ujauzito. Kwa kawaida Wanawake wengi huanza kusikia Mtoto akicheza Mimba ikifikisha Wiki 16 hadi Wiki 20 ndio kipindi ambacho Wajawazito wengine husikia Mtoto akicheza Chini ya Kitovu ktk Tumbo lao, Mjamzito ambaye ana Mimba chini ya Wiki 22 au Miezi Mitano na Wiki 2, Mara nyingi husikia Mtoto akicheza Chini ya Kitovu hii ni kwa sababu Mimba inapofikisha Wiki 20 Mji wa Uzazi huwa umefika kwenye Kitovu na sehemu ya chini ya Tumbo hususani sehemu ya chini ya Kitovu, Ndio maana kwa asilimia nyingi Mtoto hucheza chini ya Kitovu. 2. Mkao wa Mtoto Tumboni mwa Mjamzito. Hii huwa zaidi kwa Wajawazito wenye Mimba kuanzia Wiki 22 kwenda juu, Kumbuka sehemu ambazo Mtoto huchezesha au huwa na Mtikisiko zaidi akiwemo ni Miguu na Mikono ya Mtoto. Hivyo wakati mwingine Mtoto anapocheza kwenye Tumbo la Mjamzito inawezekana kabisa kujua Mtoto amekaa Mkao upi katika Tumbo la Mjamzito. A. Mtoto aliyegeuza Kichwa chini (Cephalic Presentation) Endapo Mtoto amegeuza Kichwa Chini inategemeana zaidi na alivyogeuza Miguu na Mikono yake lakini huweza kupelekea Mtikisiko wa Tumbo Sehemu ya juu ya Kitovu, sehemu ya katika ya Kitovu au Pembeni mwa Tumbo yani Kushoto au Kulia. B. Mtoto aliyekaa kwa Ulalo. (Transverse Lie) Endapo Mtoto amekaa Ulalo maana yake Mikono na Miguu inawezekana ikawa upande wa Kushoto au Kulia hivyo sehemu zitakazokuwa na Mtikisiko zaidi ni upande wa Kushoto, katikati au Kulia mwa Tumbo la Mjamzito. C. Mtoto aliyetanguliza Matako/Makalio. ( Breech Presentation) Endepo Mtoto ametanguliza Matako inawezekana akawa anacheza zaidi chini ya Kitovu lakini hutegemea zaidi Aina ya Breech endapo ametanguliza Makalio na amekunjua maungio ya kwenye goti (Frank Breech) huweza kuwa anacheza zaidi upande wa juu wa Tumbo, Kushoto sehemu ya juu ya Kitovu au Kulia sehemu ya juu ya Kitovu katika Tumboni mwa Mjamzito wakati mwingine sehemu ya katika mwa Tumbo la Mjamzito (Kitovuni) KUMBUKA: Ili uweze kujua mkao wa Mtoto unatakiwa kwenda hospital ukachunguzwe na wahudumu wa Afya ambapo watakagua Tumbo lako na kujua kuwa Mtoto amekaaje Tumboni au Unaweza kufanya Ultrasound na itakusaidia kujua mwanao amekaaje Tumboni. Endapo Mtoto ametanguliza Makalio na Mimba haijafikisha Wiki 36 basi haina shida na hutakiwi kuwa na hofu, kwa sababu Mtoto anakuwa Breech au Ametanguliza Makalio endapo Mimba imefikisha wiki 36 kwenda Juu na hii huweza kupelekea changamoto wakati wa Kujifungua. Nifuatilie kwenye channel yangu kuhusu Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie Instagram kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito. 🤍 #MtotoKuchezaTumboni #DrMwanyika #MamaAfya